sw.news
23

John Paul II, " Hakuna Mtu Yeyote Anayeweza Kuibadilisaha Humanae Vitae"

Profesa Stanisław Grygiel, mwenye umri wa miaka 83, mwanafalsafa Mpoli wa masuala ya maadili na rafiki wa karibu wa John Paul II, alikumbuka wakati wa wasilisho la kitabu huko Rome (Machi 7) mkutano …Zaidi
Profesa Stanisław Grygiel, mwenye umri wa miaka 83, mwanafalsafa Mpoli wa masuala ya maadili na rafiki wa karibu wa John Paul II, alikumbuka wakati wa wasilisho la kitabu huko Rome (Machi 7) mkutano wake na marehemu papa huyo. Kasisi mmoja alikuwa pamoja nao ambaye alidai kuwa ilikuwa "vigumu sana" kuishi bila mipira ya ngono na upangaji uzazi bandia.
John Paul II alimjibu, kuwa sio yeye wala Paul VI waliobuni mafundisho yaliyomo kwenye nakala ya HUmanae Vitae, "Siwezi kuyabadilisha. Hakuna anayeweza kuyabadilisha, hakuna yeyote. Hata Kanisa lenyewe haliwezi."
Grygiel aliletwa Roma na John Paul II. Alifunza katika Taasisi ya Roma Ya Masuala ya Ndoa na Familia ambayo iliuawa na Papa FRancis mnamo mwezi Septemba mwaka wa 2017.
Picha: © Jeffrey Bruno, Aleteia, CC BY-SA, #newsKzszprnigk