sw.news
24

Ombi Dhidi ya Vita Dhalimu Nchini Syria: "Wengine Wetu Hukumbuka Vita Vya Pili Vya Ulimwengu"

Mwanahabari Mmarekani/Mjerumani Maike Hickson na mumewe, Daktari Robert Hickson, mwenye shahada katika chuo kikuu cha West Point na aliekuwa mwanajeshi katika kikosi cha Special Forces, wameanzisha ombi dhidi ya upanuzi wa mzozo wa Syria.

Ombi hilo linasema kwamba kisasi cha kijeshi dhidi ya Syria "sio halali" kwani shambulizi la gesi lisemekanalo halijachunguzwa na kuidhinishwa na shirika la kitaalam la uchunguzi wasiopendelea upande wowote, "Wengine wetu hukumbuka vita vya pili vya ulimwengu (World War II) na madhara yake dhidi ya rai wengi ambao hawakuwa na hatia."

Ombi hilo lilichapishwa kwenye mtandao wa change.org na linasemekana kupata zaidi ya saini 3500.

Ili kutia saini kwenye ombi hilo - jina lako halitachapishwa bonyeza hapa

#newsQdmpiwovyd