sw.news
sw.news
456

Kadinali Burke Mjini Bartislava: Shambulizi Kali Dhidi Ya Kanisa Hutoka Hadi "Kichwani Mwake"

Maadui wa Kanisa wanafurahia "Mashambulizi kali yaliyomo" dhidi ya mamlaka takatifu ya Kanisa kutoka ndani yake na "hata katika kichwa chake", Kadinali Raymond Burke aliambia umati mjini Bratislava, …
sw.news
463

Kadinali Marx Apingaye Kanisa Apigana Dhidi Ya Msalaba

Kadinali wa Munich ambaye hulipinga Kanisa Reinhard Marx, akizungumza na jarida linalomilikiwa na matajiri wenye ushawishi mkuu serikalini Süddeutsche alikashifu kwa mara nyingine uamuzi wa Waziri …
sw.news
463

Marafiki Wa Kushangaza: Francis Akutana Na Mtetezi Wa Ushoga Na Uavyaji Mimba Kate Perry

Mwanamuziki Mmarekani aitwaye Katy perry, 33, alizungumza katika kongamano la Vatikani la "United to Cure", ambalo liliandaliwa na Baraza la Upapa la Tamaduni kuanzia Aprili tarehe 26 hadi 28. Mnamo …
sw.news
445

Kadinali Wa Francis Amlinda Askofu Msaidizi Anayekumbwa Na Utata

Askofu msaidizi Juan Pineda wa Tegucigalpa, Honduras, juishi maisha ya kifahari ambayo huhusisha umiliki wa magari kadhaa ya kifahari na safari za mara kwa mara za ndege za kifahari, Edward Pentin …
sw.news
433

Marekebisho Ya Fedha Za Vatikani Yashuhudia "Kinyume Halisi"

Mtaalamu ambaye hajatambulishwa alimwambia Edward Pentin (Aprili 27) kwamba marekebisho yanayosemekana ya Fedha za Vatikani yamefeli. Kulingana naye, kesi kadhaa za jinai za kifedha zilifichuliwa katika …
sw.news
435

Mdahalo: Francis Auita Uaminifu "Uthabiti"

Papa Francis alishiriki mnamo tarehe 24 mwezi Aprili Ibada mpya huko Santa Malta pamoja na Makadinali tisa ambao ni wanachama wa baraza lake. Katika hotuba yake, Francis aliwatukanatena "madaktari wa …
sw.news
432

Utengano Kati ya Francis Na Maaskofu Waholanzi

Maaskofu Waholanzi "hubadilika na kuwa friji kila wakati jina [Francis] linapotajwa", kulingana na Jan-Willem Wits, msemaji wa zamani wa Baraza la Maaskofu Waholanzi. Akiandika kwenye mtandao wa
sw.news
438

Ukinzani Zaidi Kutoka Kwa Kasper: Waprotestanti Na Wakatoliki Ni "Kanisa Moja"

Akizungumza kwa ukinzani, Mprotestanti halisi Kadinali Walter Kasper amedai kwamba Wakatoliki na Waprotestanti ni wanachama wa "Kanisa moja Takatifu la Kristo" lakini wakati uo huo "sio katika ushirika …
sw.news
427

Upoli: Vifaa Vya Intaneti Vyawekwa Kwenye Sanamu Ya Yesu Kristo

Mojawapo ya sanamu refu zaidi duniani ya Yesu Kristo mjini Świebodzin, nchini Upoli, ina vifaa vya kiufundi ndani ya taji lililoko juu ya kichwa cha sanamu hiyo. Mtaalamu aliambia fakt.pl (Aprili 22…
sw.news
424

Uropa Inakumbwa Na Upungufu Wa Idadi Ya Watu

"Kusipochukuliwa hatua kwa haraka sana, Bara Uropa limo katika hatari ya upungufu mkuu wa idadi ya watu" kulingana na Antoine Renard, rais wa shirika la Federation of Catholic Family Associations mjini …
sw.news
437

Askofu Msiria: Ni Heri Syria Kuliko Na Vita Kushinda Uropa Iliyooza

Wasiria hawafai kuhama kwani hawata pata furaha barani Uropa, Askofu Mkatoliki wa Siria Jano Battah alisema. Akizungumza na Syriana Analysis (Aprili 12) Battah alisema kuna "maisha ya faraja" barani …
sw.news
421

Kadinali Müller Awakashifu Wanachama wa Pro-Life Ambao Hukosoa Mapendeleo Ya Papa Francis Ya Uavyaji Mimba

Wanaharakati wa Pro-life duniani kote wanamkashifu Papa Francis kwa kukadirisha uavyaji mimba kwa kuulinganisha na masuala ya haki za kijamii kama vile uhamaji na umaskini. Katika Mahimizo yake ya …
sw.news
124

Askofu Mwothodoksi Mgriki Huko Jerusalem Ahusika Katika Kashfa Na Shoga

Askofu Mwathodoksi Mgriki Isichios Kontogiannis wa Capitolias, Jordan, amejiondoa kwenye majukumu yake, baada ya kuonekana kwenye kanda ya video akishiriki katika vitendo vya ngono na mwanaume aliyekuwa …
sw.news
79

Ekaristi Kwa Waprotestanti: Kadinali Müller Amkosoa Kadinali Marx

Kadinali Gerhard Müller amesema katika mtandao wa firstthings.com (Aprili 20) kwamba Ekaristi katika Sakramenti haiwezi kutenganishwa na ushirika wa Kikanisa. Alimkashifu Kadinali wa Munich Reingard …
sw.news
93

Mpungaji Pepo Apendwaye Na Francis Ni "Mlutheri"

Profesa Giuseppe Ferrari, mwandalizi wa "Zamu ya Upungaji Pepo" ya kila mwaka katika Chuo kikuu cha Roma "Regina Apostolorum" ambacho kinamilikiwa na Maaskari wa Kristo, aliambia kituo cha habari bandia …
sw.news
91

Askofu Wa Austria Ana Kasula Angavu

Jumba la Makumbusho la Makao ya Watawa ya Admont ya Wabenedikti, Austria, limeonyesha mali ya Askofu mpya wa Innsbruck, Hermann Glettler ambaye alitiwa wakfu mnamo mwezi Desemba mwaka wa 2017. Miongoni …
sw.news
91

Maaskofu Wajerumani: Papa Francis Hana Shida Na Ekaristi Kwa Waprotestanti

Msemaji wa maaskofu Wajerumani akiandika kwenye mtandao wa dbk.de (Aprili 19) amekana kwamba Vatikani ilitupilia mbali uamuzi wa maaskofu Wajerumani kuwapa Waprotestanti Ekaristi. Kulingana naye
sw.news
87

Francis Alitaka Barua Iliyopiga Marufuku Ekaristi Kwa Waprotestanti Kuwa "Siri"

Edward Pentin alidhibitisha ripoti kwamba Shirika la Mafundisho ya Imani limetupilia mbali pendekezo la Maaskofu Wajerumani kuwapa Waprotestanti Ekaristi [ingawaje hili ni jambo la kawaida nchini humo]. …
sw.news
81

Muziki WA Litajia Ni Upanga Wenye Pande Mbili - Na Maestro Aurelio Porfiri

Muziki ni muhimu katika litajia na hivyo basi ni lazima uchukuliwa kwa umakinifu fulani. Wastaarabu wa zamani, haswa Wagriki, walielewa nguvu za muziki, na sayansi ya ubongo imethibitisha: muziki una …
sw.news
93

Habari Zinazochipuka: Vatikani Yapiga Marufuku Ekaristi Kwa Waprotesanti Nchini Ujerumani.

Shirika la Mafundisho ya Imani limetupilia mbali mpango wa Maaskofu Wajerumani kuwakubalisha Waprotestanti kupokea Ekaristi Takatifu, mtandao wa kath.net (Aprili 18) umeripoti. Maaskofu hao walipiga kura