Kadinali Burke Mjini Bartislava: Shambulizi Kali Dhidi Ya Kanisa Hutoka Hadi "Kichwani Mwake"
Maadui wa Kanisa wanafurahia "Mashambulizi kali yaliyomo" dhidi ya mamlaka takatifu ya Kanisa kutoka ndani yake na "hata katika kichwa chake", Kadinali Raymond Burke aliambia umati mjini Bratislava, …
- Report
Social networks
Change post
Remove post
Kadinali Marx Apingaye Kanisa Apigana Dhidi Ya Msalaba
Kadinali wa Munich ambaye hulipinga Kanisa Reinhard Marx, akizungumza na jarida linalomilikiwa na matajiri wenye ushawishi mkuu serikalini Süddeutsche alikashifu kwa mara nyingine uamuzi wa Waziri …
- Report
Social networks
Change post
Remove post
Marafiki Wa Kushangaza: Francis Akutana Na Mtetezi Wa Ushoga Na Uavyaji Mimba Kate Perry
Mwanamuziki Mmarekani aitwaye Katy perry, 33, alizungumza katika kongamano la Vatikani la "United to Cure", ambalo liliandaliwa na Baraza la Upapa la Tamaduni kuanzia Aprili tarehe 26 hadi 28. Mnamo …
- Report
Social networks
Change post
Remove post
Kadinali Wa Francis Amlinda Askofu Msaidizi Anayekumbwa Na Utata
Askofu msaidizi Juan Pineda wa Tegucigalpa, Honduras, juishi maisha ya kifahari ambayo huhusisha umiliki wa magari kadhaa ya kifahari na safari za mara kwa mara za ndege za kifahari, Edward Pentin …
- Report
Social networks
Change post
Remove post
Marekebisho Ya Fedha Za Vatikani Yashuhudia "Kinyume Halisi"
Mtaalamu ambaye hajatambulishwa alimwambia Edward Pentin (Aprili 27) kwamba marekebisho yanayosemekana ya Fedha za Vatikani yamefeli. Kulingana naye, kesi kadhaa za jinai za kifedha zilifichuliwa katika …
- Report
Social networks
Change post
Remove post
Mdahalo: Francis Auita Uaminifu "Uthabiti"
Papa Francis alishiriki mnamo tarehe 24 mwezi Aprili Ibada mpya huko Santa Malta pamoja na Makadinali tisa ambao ni wanachama wa baraza lake. Katika hotuba yake, Francis aliwatukanatena "madaktari wa …
- Report
Social networks
Change post
Remove post
Utengano Kati ya Francis Na Maaskofu Waholanzi
Maaskofu Waholanzi "hubadilika na kuwa friji kila wakati jina [Francis] linapotajwa", kulingana na Jan-Willem Wits, msemaji wa zamani wa Baraza la Maaskofu Waholanzi. Akiandika kwenye mtandao wa …
- Report
Social networks
Change post
Remove post
Ukinzani Zaidi Kutoka Kwa Kasper: Waprotestanti Na Wakatoliki Ni "Kanisa Moja"
Akizungumza kwa ukinzani, Mprotestanti halisi Kadinali Walter Kasper amedai kwamba Wakatoliki na Waprotestanti ni wanachama wa "Kanisa moja Takatifu la Kristo" lakini wakati uo huo "sio katika ushirika …
- Report
Social networks
Change post
Remove post
Upoli: Vifaa Vya Intaneti Vyawekwa Kwenye Sanamu Ya Yesu Kristo
Mojawapo ya sanamu refu zaidi duniani ya Yesu Kristo mjini Świebodzin, nchini Upoli, ina vifaa vya kiufundi ndani ya taji lililoko juu ya kichwa cha sanamu hiyo. Mtaalamu aliambia fakt.pl (Aprili 22…
- Report
Social networks
Change post
Remove post
Uropa Inakumbwa Na Upungufu Wa Idadi Ya Watu
"Kusipochukuliwa hatua kwa haraka sana, Bara Uropa limo katika hatari ya upungufu mkuu wa idadi ya watu" kulingana na Antoine Renard, rais wa shirika la Federation of Catholic Family Associations mjini …
- Report
Social networks
Change post
Remove post
Askofu Msiria: Ni Heri Syria Kuliko Na Vita Kushinda Uropa Iliyooza
Wasiria hawafai kuhama kwani hawata pata furaha barani Uropa, Askofu Mkatoliki wa Siria Jano Battah alisema. Akizungumza na Syriana Analysis (Aprili 12) Battah alisema kuna "maisha ya faraja" barani …
- Report
Social networks
Change post
Remove post
Kadinali Müller Awakashifu Wanachama wa Pro-Life Ambao Hukosoa Mapendeleo Ya Papa Francis Ya Uavyaji Mimba
Wanaharakati wa Pro-life duniani kote wanamkashifu Papa Francis kwa kukadirisha uavyaji mimba kwa kuulinganisha na masuala ya haki za kijamii kama vile uhamaji na umaskini. Katika Mahimizo yake ya …
- Report
Social networks
Change post
Remove post
Askofu Mwothodoksi Mgriki Huko Jerusalem Ahusika Katika Kashfa Na Shoga
Askofu Mwathodoksi Mgriki Isichios Kontogiannis wa Capitolias, Jordan, amejiondoa kwenye majukumu yake, baada ya kuonekana kwenye kanda ya video akishiriki katika vitendo vya ngono na mwanaume aliyekuwa …
- Report
Social networks
Change post
Remove post
Ekaristi Kwa Waprotestanti: Kadinali Müller Amkosoa Kadinali Marx
Kadinali Gerhard Müller amesema katika mtandao wa firstthings.com (Aprili 20) kwamba Ekaristi katika Sakramenti haiwezi kutenganishwa na ushirika wa Kikanisa. Alimkashifu Kadinali wa Munich Reingard …
- Report
Social networks
Change post
Remove post
Mpungaji Pepo Apendwaye Na Francis Ni "Mlutheri"
Profesa Giuseppe Ferrari, mwandalizi wa "Zamu ya Upungaji Pepo" ya kila mwaka katika Chuo kikuu cha Roma "Regina Apostolorum" ambacho kinamilikiwa na Maaskari wa Kristo, aliambia kituo cha habari bandia …
- Report
Social networks
Change post
Remove post
Askofu Wa Austria Ana Kasula Angavu
Jumba la Makumbusho la Makao ya Watawa ya Admont ya Wabenedikti, Austria, limeonyesha mali ya Askofu mpya wa Innsbruck, Hermann Glettler ambaye alitiwa wakfu mnamo mwezi Desemba mwaka wa 2017. Miongoni …
- Report
Social networks
Change post
Remove post
Maaskofu Wajerumani: Papa Francis Hana Shida Na Ekaristi Kwa Waprotestanti
Msemaji wa maaskofu Wajerumani akiandika kwenye mtandao wa dbk.de (Aprili 19) amekana kwamba Vatikani ilitupilia mbali uamuzi wa maaskofu Wajerumani kuwapa Waprotestanti Ekaristi. Kulingana naye …
- Report
Social networks
Change post
Remove post
Francis Alitaka Barua Iliyopiga Marufuku Ekaristi Kwa Waprotestanti Kuwa "Siri"
Edward Pentin alidhibitisha ripoti kwamba Shirika la Mafundisho ya Imani limetupilia mbali pendekezo la Maaskofu Wajerumani kuwapa Waprotestanti Ekaristi [ingawaje hili ni jambo la kawaida nchini humo]. …
- Report
Social networks
Change post
Remove post
Muziki WA Litajia Ni Upanga Wenye Pande Mbili - Na Maestro Aurelio Porfiri
Muziki ni muhimu katika litajia na hivyo basi ni lazima uchukuliwa kwa umakinifu fulani. Wastaarabu wa zamani, haswa Wagriki, walielewa nguvu za muziki, na sayansi ya ubongo imethibitisha: muziki una …
- Report
Social networks
Change post
Remove post
Habari Zinazochipuka: Vatikani Yapiga Marufuku Ekaristi Kwa Waprotesanti Nchini Ujerumani.
Shirika la Mafundisho ya Imani limetupilia mbali mpango wa Maaskofu Wajerumani kuwakubalisha Waprotestanti kupokea Ekaristi Takatifu, mtandao wa kath.net (Aprili 18) umeripoti. Maaskofu hao walipiga kura…
- Report
Social networks
Change post
Remove post