sw.news
71

Kisingizio Cha "Hali Binafsi":Kadinali Marx Awabariki Wenzi Shoga

Kadinali wa Munich Reinhard Marx, mwenye umri wa miaka 64, aliwahimiza makasisi wake "kuwatia shoga moyo" wa kiliturjia [Kijerumani: "Zuspruch"] huku akiongeza, "Sioni shida yoyote katika kufanya hivi"

Akizungumza na Bayerischer Rundfunk (Februari 3), Marx alidai kuwa hataki maneno yake yaeleweke kama dhibitisho la jumla la kubariki ndoa za kishoga, ingawaje haya ndiyo madhara haswa yatakayotokana na kauli yake hiyo, na Marx anajua hivyo.

Marx alijibu swali la iwapo wenzi shoga huenda wakabarikiwa kwa kusema, "Ndio, hakuna suluhu la jumla."Analenga kuleta baraka za shoga kwa ksingizio cha "ubinafsi wa hali"na anadai kuwa kuwabariki wenzi shoga ni mojawapo ya mambo kadhaa ambayo "hayawezi kudhibitiwa", ingawaje Kanisa na Injili huchukuliwa kila aina ya vitendo vya ushoga kama dhambi ya mauti.

Hata hivyo, Marx anataka kuwatika Makasisi jukumu la kuamua iwapo watawabariki wenzi shoga au la! Hivi karibuni, kukataa kuwabariki wenzi shoga itakuwa sababu ya kuwaachisha kazi Makasisi nchini Ujerumani.

#newsYoqzveghab