sw.news
128

Askofu Mwothodoksi Mgriki Huko Jerusalem Ahusika Katika Kashfa Na Shoga

Askofu Mwathodoksi Mgriki Isichios Kontogiannis wa Capitolias, Jordan, amejiondoa kwenye majukumu yake, baada ya kuonekana kwenye kanda ya video akishiriki katika vitendo vya ngono na mwanaume aliyekuwa amevalia mavazi ya kike.

Askofu huyo alijihusisha na mwanaume Mgiriki ambaye hujiita "Afroditi Konstantinou". Alikuwa kahaba wa kishoga na huvlia mavazi ya kike. Kulingana naye uhusiano huo umekuwepo kwa zaidi ya miaka mitano.

Konstantinou alichapisha video za kutamausha kwenye mtandao wa kijamii baada ya kuhisi kuwa "ametumiwa vibaya" kihisia na kudhulumiwa kimwili na kiakili

#newsTdpwwkabdl