sw.news
64

Kadinali Atoa Tishio Dhidi Ya Kanisa Kwa "Mbinu Mpya"

Kadinali mstaarabu Claudio Hummes alidhibitisha kuwa Sinodi la Amazon litakaloandaliwa mnamo mwaka wa 2019 litalenga kufutilia mbali useja wa Makasisi.

Akizungumza na kituo cha kistaarabu cha Kihispania Periodista Digital (Desemba 2) Hummes alisema kuwa sinodi hili litatafuta "njia mpya, mbinu mpya za uchungaji."

Ni fumbo lililo wazi kuwa "njia hizi mpya" ni pamoja na ulinganifu wa hali, ulegevu wa maadili na liturujia pamoja na uchungaji kufanywa ya kilimwengu. Mbinu hizi tayari zimetumika katkka mataifa mengi ya Magharibi na zimepelekea kufilisika kwa kanisa kwa njia isiyokadirika.

Picha: Claudio Hummes, © Senado Federal, CC BY-SA, #newsEytiojbxsx